Mistari ya Biblia kuhusu Warfare of Saints: Eat of the hidden manna
Mistari kuhusu Eat of the hidden manna
“Yeye aliye na sikio na asikie yale ambayo Roho ayaambia makanisa. Yeye ashindaye nitampa baadhi ya ile mana iliyofichwa. Nitampa pia jiwe jeupe ambalo juu yake limeandikwa jina jipya asilolijua mtu, isipokuwa yule anayelipokea.