Mistari ya Biblia kuhusu Warfare of Saints: Death
Mistari kuhusu Death
Adui wa mwisho atakayeangamizwa ni mauti.
Basi kwa kuwa watoto wana nyama na damu, yeye pia alishiriki katika ubinadamu wao, ili kwa kifo chake, apate kumwangamiza huyo mwenye nguvu za mauti, yaani ibilisi,
na kuwaweka huru wale waliokuwa utumwani maisha yao yote kwa sababu ya kuogopa mauti.