Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Unbelief: Questioning the power of God

3 mistari · 61 vipengele

Mistari kuhusu Questioning the power of God

  1. Yule afisa ambaye mfalme alikuwa anauegemea mkono wake akamwambia yule mtu wa Mungu, “Tazama, hata kama Bwana atafungua madirisha ya mbinguni, je, jambo hili litawezekana?” Elisha akajibu, “Utaona kwa macho yako mwenyewe, lakini wewe hutakula chochote kati ya hivyo!”

  2. Walinena dhidi ya Mungu, wakisema, “Je, Mungu aweza kuandaa meza jangwani?

  3. Alipopiga mwamba, maji yalitoka kwa nguvu, vijito vikatiririka maji mengi. Lakini je, aweza kutupa chakula pia? Je, anaweza kuwapa watu wake nyama?”