Mistari ya Biblia kuhusu Unbelief: Moses and Aaron
Mistari kuhusu Moses and Aaron
Lakini Bwana akamwambia Mose na Aroni, “Kwa sababu hamkuniamini mimi kiasi cha kuniheshimu kama mtakatifu machoni pa Waisraeli, hamtaiingiza jumuiya hii katika nchi ninayowapa.”