Mistari ya Biblia kuhusu The Second Coming of Christ: Shall receive a crown of glory at
Mistari kuhusu Shall receive a crown of glory at
Sasa nimewekewa taji ya haki ambayo Bwana, mwamuzi wa haki, atanitunukia siku ile: wala si mimi tu, bali pia wote ambao wamengoja kwa shauku kudhihirishwa kwake.
Naye Mchungaji Mkuu atakapodhihirishwa, mtapokea taji ya utukufu isiyoharibika.