Skip to content

Enoch

10 mistari · 2 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Henoch

Mistari inayomtaja Enoch

  1. Yaredi alipokuwa ameishi miaka 162, akamzaa Enoki.

  2. Baada ya kumzaa Enoki, Yaredi aliishi miaka 800, naye akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

  4. Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Enoki aliishi jumla ya miaka 365.

  6. Enoki akatembea na Mungu, kisha akatoweka, kwa sababu Mungu alimchukua.

  7. Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

  8. Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,

  9. Kwa imani Enoki alitwaliwa kutoka maisha haya, kiasi kwamba hakuonja mauti. Hakuonekana, kwa sababu Mungu alikuwa amemchukua. Kwa kuwa kabla hajatwaliwa alikuwa ameshuhudiwa kuwa ni mtu aliyempendeza Mungu.

  10. Enoki, mtu wa saba kuanzia Adamu alitoa unabii kuhusu watu hawa, akisema: “Tazama, Bwana anakuja pamoja na maelfu kwa maelfu ya watakatifu wake,