Rukia maudhui

Methuselah

7 mistari · 2 wanafamilia

Anajulikana pia kama: Mathusala

Mistari inayomtaja Methuselah

  1. Enoki alipokuwa ameishi miaka sitini na mitano, akamzaa Methusela.

  2. Baada ya kumzaa Methusela, Enoki alitembea na Mungu miaka 300, na akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.

  4. Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Methusela aliishi jumla ya miaka 969, ndipo akafa.

  6. Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

  7. Lameki alikuwa mwana wa Methusela, Methusela alikuwa mwana wa Enoki, Enoki alikuwa mwana wa Yaredi, Yaredi alikuwa mwana wa Mahalaleli, Mahalaleli alikuwa mwana wa Kenani,