Skip to content

Lamech

7 mistari · 2 wanafamilia

Mistari inayomtaja Lamech

  1. Methusela alipokuwa ameishi miaka 187, akamzaa Lameki.

  2. Baada ya kumzaa Lameki, Methusela aliishi miaka 782, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  3. Lameki alipokuwa ameishi miaka 182, alimzaa mwana.

  4. Baada ya Noa kuzaliwa, Lameki aliishi miaka 595, akawa na watoto wengine wa kiume na wa kike.

  5. Lameki aliishi jumla ya miaka 777, ndipo akafa.

  6. Enoki, Methusela, Lameki, Noa.

  7. Sala alikuwa mwana wa Kenani, Kenani alikuwa mwana wa Arfaksadi, Arfaksadi alikuwa mwana wa Shemu, Shemu alikuwa mwana wa Noa, Noa alikuwa mwana wa Lameki,