Mistari ya Biblia kuhusu The Second Coming of Christ: Should watch for
Mistari kuhusu Should watch for
“Basi kesheni, kwa sababu hamjui ni siku gani atakapokuja Bwana wenu.
“Basi kesheni kwa sababu hamjui ni lini mwenye nyumba atakaporudi: iwapo ni jioni, au ni usiku wa manane, au alfajiri awikapo jogoo, au mapambazuko.
Kama akija ghafula, asije akawakuta mmelala.
Lile ninalowaambia ninyi, nawaambia watu wote: ‘Kesheni!’ ”
Kesheni daima na mwombe ili mweze kuokoka na yale yote yatakayotokea na kusimama mbele ya Mwana wa Adamu.”