Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu The Pharisees: Self-righteous

2 mistari · 42 vipengele

Mistari kuhusu Self-righteous

  1. Yesu akawaambia, “Ninyi mnajionyesha kuwa wenye haki mbele za wanadamu, lakini Mungu anaijua mioyo yenu. Kwa maana vile vitu ambavyo wanadamu wanavithamini sana, kwa Mungu ni machukizo.

  2. Yesu akatoa mfano huu kwa wale waliojiamini kuwa wao ni wenye haki na kuwadharau wengine: