Mistari ya Biblia kuhusu Shem: Preserved in the ark
Mistari kuhusu Preserved in the ark
Baada ya Noa kuishi miaka 500, aliwazaa Shemu, Hamu na Yafethi.
Noa alikuwa na wana watatu: Shemu, Hamu na Yafethi.
Siku hiyo Noa, na mkewe, na wanawe Shemu, Hamu na Yafethi pamoja na wake zao wakaingia katika ile safina.
Wana wa Noa waliotoka ndani ya safina ni: Shemu, Hamu na Yafethi. (Hamu ndiye alikuwa baba wa Kanaani.)
Wana wa Noa walikuwa: Shemu, Hamu na Yafethi.