Mistari ya Biblia kuhusu Sciences: Navigation
Mistari kuhusu Navigation
Naye Hiramu akawatuma watu wake; mabaharia walioijua bahari, kuhudumu katika hizo meli pamoja na watu wa Solomoni.
Wengine walisafiri baharini kwa meli, walikuwa wafanyabiashara kwenye maji makuu.