Joktan
Mistari inayomtaja Joktan
Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.
Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.