Rukia maudhui

Joktan

6 mistari · 15 wanafamilia

Mistari inayomtaja Joktan

  1. Eberi akapata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake ndipo dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

  2. Yoktani alikuwa baba wa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,

  3. Ofiri, Havila na Yobabu. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.

  4. Eberi alipata wana wawili: Mmoja wao aliitwa Pelegi, kwa kuwa wakati wake dunia iligawanyika; nduguye aliitwa Yoktani.

  5. Wana wa Yoktani walikuwa: Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,

  6. Ofiri, Havila na Yobabu. Wote hawa walikuwa wana wa Yoktani.