Mistari ya Biblia kuhusu Protection: The poor
Mistari kuhusu The poor
Ninyi watenda mabaya mnakwamisha mipango ya maskini, bali Bwana ndiye kimbilio lao.
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Atawaokoa kutoka uonevu na ukatili, kwani damu yao ni ya thamani machoni pake.