Mistari ya Biblia kuhusu Protection: Sleep
Mistari kuhusu Sleep
Ninajilaza na kupata usingizi; naamka tena, kwa maana Bwana hunitegemeza.
Nitajilaza chini na kulala kwa amani, kwa kuwa wewe peke yako, Ee Bwana, waniwezesha kukaa kwa salama.
ulalapo, hautaogopa; ulalapo usingizi wako utakuwa mtamu.