Mistari ya Biblia kuhusu Protection: Riches
Mistari kuhusu Riches
Utajiri haufaidi kitu katika siku ya ghadhabu, bali haki huokoa kutoka mautini.
Yeyote ategemeaye utajiri wake ataanguka, bali mwenye haki atastawi kama jani bichi.
Fedha yao wala dhahabu yao hazitaweza kuwaokoa katika siku hiyo ya ghadhabu ya Bwana. Katika moto wa wivu wake dunia yote itateketezwa, kwa maana ataleta mwisho wa wote wanaoishi katika dunia ghafula.”