Mistari ya Biblia kuhusu Obedience to God: Obligations to
Mistari kuhusu Obligations to
Lakini Petro na Yohana wakajibu, “Amueni ninyi wenyewe iwapo ni haki mbele za Mungu kuwatii ninyi kuliko kumtii Mungu.
Lakini sisi hatuwezi kuacha kusema yale tuliyoyaona na kuyasikia.”
Petro na wale mitume wengine wakajibu, “Imetupasa kumtii Mungu kuliko wanadamu.