Mistari ya Biblia kuhusu Obedience to God: Israelites
Mistari kuhusu Israelites
Waisraeli wakafanya kama vile Bwana alivyomwagiza Mose na Aroni.
Kisha akachukua kile Kitabu cha Agano na kuwasomea watu. Nao wakajibu, “Tutafanya kila kitu alichosema Bwana, nasi tutatii.”