Mistari ya Biblia kuhusu Obedience to God: Without faith, is impossible
Mistari kuhusu Without faith, is impossible
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza Mungu, kwa maana yeyote anayemjia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko na ya kuwa huwapa thawabu wale wamtafutao kwa bidii.