Mistari ya Biblia kuhusu Obedience to God: Obeying his law
Mistari kuhusu Obeying his law
baraka kama mtatii maagizo ya Bwana Mungu wenu, ambayo ninawapa leo;
Ni nani aliyemtoa Yakobo kuwa mateka, na Israeli kwa wateka nyara? Je, hakuwa yeye, Bwana, ambaye tumetenda dhambi dhidi yake? Kwa kuwa hawakufuata njia zake, hawakutii sheria zake.