Mistari ya Biblia kuhusu Jacob: Journeys to Ephrath; Benjamin is born to; Rachel dies, and is »buried in the way to Ephrath, which is Bethlehem«
Mistari kuhusu Journeys to Ephrath; Benjamin is born to; Rachel dies, and is »buried in the way to Ephrath, which is Bethlehem«
Kisha wakaondoka Betheli. Walipokuwa umbali fulani kabla ya kufika Efrathi, Raheli akaanza kusikia uchungu na alipata shida kuu.
Alipokuwa katika shida hii katika kujifungua, mkunga akamwambia, “Usiogope, kwa sababu umempata mwana mwingine.”
Hapo alipopumua pumzi yake ya mwisho, kwa maana alikuwa akifa, akamwita mwanawe Benoni. Lakini babaye akamwita Benyamini.
Kwa hiyo Raheli akafa, akazikwa kando ya njia iendayo Efrathi (ndio Bethlehemu).