Skip to content
Hesabu 34:16-29

Hesabu 34:16-29

16
Bwana akamwambia Mose,
17
“Haya ndiyo majina ya watu ambao watakusaidia kugawanya nchi kama urithi: Eleazari kuhani na Yoshua mwana wa Nuni.
18
Tena uteue kiongozi mmoja kutoka kila kabila kusaidia kuigawanya nchi.
19
Haya ndiyo majina yao: “Kalebu mwana wa Yefune, kutoka kabila la Yuda;
20
Shemueli mwana wa Amihudi, kutoka kabila la Simeoni;
21
Elidadi mwana wa Kisloni, kutoka kabila la Benyamini;
22
Buki mwana wa Yogli, kiongozi kutoka kabila la Dani;
23
Hanieli mwana wa Efodi, kiongozi kutoka kabila la Manase mwana wa Yosefu;
24
Kemueli mwana wa Shiftani, kiongozi kutoka kabila la Efraimu mwana wa Yosefu;
25
Elisafani mwana wa Parnaki, kiongozi kutoka kabila la Zabuloni;
26
Paltieli mwana wa Azani, kiongozi kutoka kabila la Isakari;
27
Ahihudi mwana wa Shelomi, kiongozi kutoka kabila la Asheri;
28
Pedaheli mwana wa Amihudi, kiongozi kutoka kabila la Naftali.”
29
Hawa ndio watu ambao Bwana aliamuru wagawanye urithi kwa Waisraeli katika nchi ya Kanaani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options