Skip to content
Ezra 2:36-67

Ezra 2:36-67

36
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37
wazao wa Imeri 1,052
38
wazao wa Pashuri 1,247
39
wazao wa Harimu 1,017
40
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54
wazao wa Nesia na Hatifa.
55
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
59
Wafuatao walikuja kutoka miji ya Tel-Mela, Tel-Harsha, Kerubu, Adoni na Imeri, lakini hawakuweza kuthibitisha kwamba jamaa zao zilikuwa uzao wa Israeli:
60
wazao wa Delaya, Tobia na Nekoda 652
61
Kutoka miongoni mwa makuhani: Wazao wa Hobaya, Hakosi, Barzilai (mtu aliyekuwa amemwoa binti wa Barzilai, Mgileadi, naye akaitwa kwa jina hilo).
62
Hawa walitafuta orodha za jamaa zao, lakini hawakuonekana humo, kwa hiyo waliondolewa kutoka kundi la makuhani kwa kuwa walihesabiwa kuwa najisi.
63
Mtawala aliagiza kuwa wasile chochote miongoni mwa vyakula vitakatifu hadi kuwe kuhani atakayehudumu kwa Urimu na Thumimu.
64
Jumla ya watu wote waliorudi walikuwa 42,360;
65
tena zaidi ya hao walikuwepo watumishi wa kiume na wa kike 7,337; pia walikuwamo waimbaji wanaume na wanawake 200.
66
Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245,
67
ngamia 435 na punda 6,720.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options