Skip to content
Ezra 2:36-58

Ezra 2:36-58

36
Makuhani: wazao wa Yedaya (kwa jamaa ya Yeshua) 973
37
wazao wa Imeri 1,052
38
wazao wa Pashuri 1,247
39
wazao wa Harimu 1,017
40
Walawi: wazao wa Yeshua na Kadmieli (kupitia jamaa ya Hodavia) 74
41
Waimbaji: wazao wa Asafu 128
42
Mabawabu wa lango la Hekalu: wazao wa Shalumu, Ateri, Talmoni, Akubu, Hatita na Shobai 139
43
Watumishi wa Hekalu: wazao wa Siha, Hasufa, Tabaothi,
44
wazao wa Kerosi, Siaha, Padoni,
45
wazao wa Lebana, Hagaba, Akubu,
46
wazao wa Hagabu, Shalmai, Hanani,
47
wazao wa Gideli, Gahari, Reaya,
48
wazao wa Resini, Nekoda, Gazamu,
49
wazao wa Uza, Pasea, Besai,
50
wazao wa Asna, Meunimu, Nefusimu,
51
wazao wa Bakbuki, Hakufa, Harhuri,
52
wazao wa Basluthi, Mehida, Harsha,
53
wazao wa Barkosi, Sisera, Tema,
54
wazao wa Nesia na Hatifa.
55
Wazao wa watumishi wa Solomoni: wazao wa Sotai, Hasaferethi, Peruda,
56
wazao wa Yaala, Darkoni, Gideli,
57
wazao wa Shefatia, Hatili, Pokereth-Hasebaimu na Ami.
58
Watumishi wa Hekalu wote na wazao wa watumishi wa Solomoni 392
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options