Skip to content
1 Nyakati 11:26-47

1 Nyakati 11:26-47

26
Wale watu mashujaa walikuwa: Asaheli nduguye Yoabu, Elhanani mwana wa Dodo kutoka Bethlehemu,
27
Shamothi Mharori, Helesi Mpeloni,
28
Ira mwana wa Ikeshi kutoka Tekoa, Abiezeri kutoka Anathothi,
29
Sibekai Mhushathi, Ilai Mwahohi,
30
Maharai Mnetofathi, Heledi mwana wa Baana, Mnetofathi,
31
Itai mwana wa Ribai kutoka Gibea ya Benyamini, Benaya Mpirathoni,
32
Hurai kutoka mabonde ya Gaashi, Abieli Mwaribathi,
33
Azmawethi Mbaharumi, Eliaba Mshaalboni,
34
wana wa Hashemu Mgiloni, Yonathani mwana wa Shagee Mharari,
35
Ahiamu mwana wa Sakari Mharari, Elifale mwana wa Uru,
36
Heferi Mmekerathi, Ahiya Mpeloni,
37
Hezro Mkarmeli, Naarai mwana wa Ezbai,
38
Yoeli nduguye Nathani, Mibhari mwana wa Hagri,
39
Seleki Mwamoni, Naharai Mbeerothi, mbeba silaha wa Yoabu mwana wa Seruya,
40
Ira Mwithiri, Garebu Mwithiri,
41
Uria Mhiti, Zabadi mwana wa Alai,
42
Adina mwana wa Shiza Mreubeni, ambaye alikuwa mkuu wa Wareubeni, akiwa pamoja na watu thelathini,
43
Hanani mwana wa Maaka, Yoshafati Mmithni,
44
Uzia Mwashterathi, Shama na Yeieli wana wa Hothamu Mwaroeri,
45
Yediaeli mwana wa Shimri, nduguye Yoha Mtizi,
46
Elieli Mmahawi, Yeribai na Yoshavia wana wa Elnaamu, Ithma Mmoabu,
47
Elieli, na Obedi na Yaasieli Mmesobai.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options