Mistari ya Biblia kuhusu Walls: Handwriting on the wall of Belshazzar's palace
Mistari kuhusu Handwriting on the wall of Belshazzar's palace
Ghafula vidole vya mkono wa mwanadamu vilitokea na kuandika juu ya ukuta, karibu na kinara cha taa ndani ya jumba la mfalme. Mfalme akatazama kitanga kilivyokuwa kikiandika.
“Haya ndiyo maneno yaliyoandikwa: mene, mene, tekeli na peresi
“Hii ndiyo maana ya maneno haya: “Mene: Mungu amezihesabu siku za utawala wako na kuukomesha.
Tekeli: Wewe umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.
Peresi: Ufalme wako umegawanywa na kupewa Wamedi na Waajemi.”