Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Walls: Small towns and villages were not surrounded by

2 mistari · 48 vipengele

Mistari kuhusu Small towns and villages were not surrounded by

  1. Lakini nyumba zilizo vijijini bila ya kuwa na kuta zilizozizunguka zitahesabiwa kama mashamba. Zinaweza kukombolewa, nazo zirudishwe katika mwaka wa Yubile.

  2. Miji yote hii ilijengewa ngome zenye kuta ndefu zenye malango na makomeo, pia kulikuwako na vijiji vingi ambavyo havikujengewa kuta.