Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Walls: Could be easily dug through

4 mistari · 48 vipengele

Mistari kuhusu Could be easily dug through

  1. Mimi na nisiingie katika baraza lao, nami nisiunganike katika kusanyiko lao, kwa kuwa wamewaua watu katika hasira yao, walikata mishipa ya miguu ya mafahali kama walivyopenda.

  2. Kisha akanileta mpaka ingilio la ukumbi. Nikatazama, nami nikaona tundu ukutani.

  3. Akaniambia, “Mwanadamu, sasa toboa kwenye ukuta huu.” Ndipo nikatoboa ule ukuta, nikaona hapo pana mlango.

  4. Wakiwa wanakutazama, toboa ukuta utolee mizigo yako hapo.