Mistari ya Biblia kuhusu Walls: Of the Church as a protection to the nation
Mistari kuhusu Of the Church as a protection to the nation
Kama yeye ni ukuta, tutajenga minara ya fedha juu yake. Na kama yeye ni mlango, tutamzungushia mbao za mierezi.
Mimi ni ukuta, nayo matiti yangu ni kama minara. Ndivyo ambavyo nimekuwa machoni pake kama yule anayeleta utoshelevu.