Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Vineyards: The Rechabites forbidden to plant

3 mistari · 38 vipengele

Mistari kuhusu The Rechabites forbidden to plant

  1. Pia msijenge nyumba kamwe, wala kuotesha mbegu au kupanda mashamba ya mizabibu. Kamwe msiwe na kitu chochote katika hivi, lakini siku zote lazima muishi kwenye mahema. Ndipo mtakapoishi kwa muda mrefu katika nchi ambayo ninyi ni wahamiaji.’

  2. Tumetii kila kitu ambacho baba yetu Yonadabu mwana wa Rekabu alituamuru. Sisi wenyewe wala wake zetu wala wana wetu na binti zetu kamwe hatujanywa divai

  3. wala kujenga nyumba za kuishi au kuwa na mashamba ya mizabibu, mashamba au mazao.