Baal-hamon
33.4100, 35.8500 Tazama kwenye Ramani za Google
Mistari inayomtaja Baal-hamon
Solomoni alikuwa na shamba la mizabibu huko Baal-Hamoni; alikodisha shamba lake la mizabibu kwa wapangaji. Kila mmoja angeleta kwa ajili ya matunda yake shekeli 1,000 za fedha.