Mistari ya Biblia kuhusu Trees: Shittah or shittim
Mistari kuhusu Shittah or shittim
Wakatengeneza mihimili ya kusimamisha ya mti wa mshita kwa ajili ya maskani.
Katika jangwa nitaotesha mwerezi, mshita, mhadasi na mzeituni. Nitaweka misunobari, mivinje na misanduku pamoja huko nyikani,