Mistari ya Biblia kuhusu Trees: Prohibited from cutting down fruit bearing, for sieges
Mistari kuhusu Prohibited from cutting down fruit bearing, for sieges
Wakati mtakapouzunguka mji kwa vita kwa muda mrefu, mkipigana dhidi yake ili kuuteka, msiharibu miti yake kwa kuikata kwa shoka, kwa sababu mtaweza kula matunda yake. Hivyo msiikate. Je, miti hiyo ya mashambani ni watu, hata muizingire?