Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Saints: Ransomed of the Lord
Mistari kuhusu Ransomed of the Lord
waliokombolewa na Bwana watarudi. Wataingia Sayuni wakiimba; furaha ya milele itakuwa juu ya vichwa vyao. Watapata furaha na shangwe; huzuni na majonzi vitakimbia.