Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Saints: Children of the bride-chamber
Mistari kuhusu Children of the bride-chamber
Yesu akawajibu, “Wageni wa bwana arusi wawezaje kuomboleza wakati angali pamoja nao? Wakati utafika ambapo bwana arusi ataondolewa kwao. Hapo ndipo watakapofunga.