Mistari ya Biblia kuhusu Titles and Names of Saints: Heirs of the grace of life
Mistari kuhusu Heirs of the grace of life
Vivyo hivyo ninyi waume, kaeni na wake zenu kwa akili, nanyi wapeni heshima mkitambua ya kuwa wao ni wenzi walio dhaifu, na kama warithi pamoja nanyi wa kipawa cha neema cha uzima, ili kusiwepo na chochote cha kuzuia maombi yenu.