Mistari ya Biblia kuhusu The Poor: Have promises
Mistari kuhusu Have promises
Yeye ampaye maskini hatapungukiwa na kitu chochote, bali yeye awafumbiaye maskini macho hupata laana nyingi.
Bali ufanyapo karamu, waalike maskini, vilema na vipofu,
nawe utabarikiwa kwa sababu hawa hawana uwezo wa kukulipa. Mungu atakulipa wakati wa ufufuo wa wenye haki.”