Mistari ya Biblia kuhusu Syria: Joined with Israel against Ahaz and besieged Jerusalem
Mistari kuhusu Joined with Israel against Ahaz and besieged Jerusalem
Kisha Resini mfalme wa Aramu na Peka mwana wa Remalia mfalme wa Israeli wakaondoka kwenda kupigana dhidi ya Yerusalemu na kumzunguka Ahazi kwa jeshi, lakini hawakuweza kumshinda.
Lakini Ahazi akasema, “Sitaomba; sitamjaribu Bwana.”