Mistari ya Biblia kuhusu Syria: Its calamities, the punishments of its sins
Mistari kuhusu Its calamities, the punishments of its sins
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.