Mistari ya Biblia kuhusu Syria: Its inhabitants to be captives
Mistari kuhusu Its inhabitants to be captives
Hili ndilo asemalo Bwana: “Kwa dhambi tatu za Dameski, hata kwa dhambi nne, sitaizuia ghadhabu yangu. Kwa sababu aliipura Gileadi kwa vyombo vya chuma vyenye meno.