Rukia maudhui

Mistari ya Biblia kuhusu Syria: Paul preaches in

4 mistari · 61 vipengele

Mistari kuhusu Paul preaches in

  1. Akapitia Shamu na Kilikia, akiimarisha makanisa ya huko.

  2. Baada ya kukaa Korintho kwa muda, Paulo akaagana na wale ndugu walioamini, akasafiri kwa njia ya bahari kwenda Shamu akiwa amefuatana na Prisila na Akila. Walipofika Kenkrea, Paulo alinyoa nywele zake kwa kuwa alikuwa ameweka nadhiri.

  3. Tulipokiona kisiwa cha Kipro, tukakizunguka tukakiacha upande wetu wa kushoto, tukasafiri mpaka Shamu, tukatia nanga katika bandari ya Tiro ambapo meli yetu ilikuwa ipakue shehena yake.

  4. Baadaye nilikwenda sehemu za Syria na Kilikia.