Mistari ya Biblia kuhusu Salutations: By kissing
Mistari kuhusu By kissing
Yoabu akamwambia Amasa, “U hali gani, ndugu yangu?” Kisha Yoabu akamshika Amasa ndevu kwa mkono wake wa kuume ili ambusu.
Mara Yuda akamjia Yesu na kumsalimu, “Salamu, Rabi!” Akambusu.