Skip to content

Mistari ya Biblia kuhusu Salutations: By all passers-by

3 mistari · 37 vipengele

Mistari kuhusu By all passers-by

  1. “Kisha utakwenda mbele kutoka hapa mpaka uufikie mwaloni wa Tabori. Watu watatu wanaopanda kwa Mungu huko Betheli watakutana nawe hapo. Mmoja atakuwa amechukua wana-mbuzi watatu, mwingine mikate mitatu, na mwingine kiriba cha divai.

  2. Watakusalimu na kukupa mikate miwili, ambayo utaipokea kutoka kwao.

  3. Wale wapitao karibu na wasiseme, “Baraka ya Bwana iwe juu yako; tunakubariki katika jina la Bwana.”