Mistari ya Biblia kuhusu Salutations: The Pharisees condemned for seeking, in public
Mistari kuhusu The Pharisees condemned for seeking, in public
Hupenda kusalimiwa masokoni na kutaka watu wawaite ‘Rabi.’
Alipokuwa akifundisha, Yesu alisema, “Jihadharini na walimu wa sheria. Wao hupenda kutembea wakiwa wamevaa mavazi marefu, na kusalimiwa kwa heshima masokoni.