Mistari ya Biblia kuhusu Peter: Prays for the baptism of the Holy Ghost
Mistari kuhusu Prays for the baptism of the Holy Ghost
Nao walipofika wakawaombea ili wampokee Roho Mtakatifu,
kwa sababu Roho Mtakatifu alikuwa bado hajawashukia hata mmoja ila wamebatizwa tu katika jina la Bwana Yesu.
Ndipo Petro na Yohana wakaweka mikono yao juu ya wale waliobatizwa, nao wakapokea Roho Mtakatifu.
Simoni alipoona kuwa watu wanapokea Roho Mtakatifu mitume walipoweka mikono juu yao, akataka kuwapa fedha