Mistari ya Biblia kuhusu Persecution: Rejoice in its success
Mistari kuhusu Rejoice in its success
Adui yangu atasema, “Nimemshinda,” nao adui zangu watashangilia nitakapoanguka.
Watu waishio duniani watazitazama kwa furaha maiti za hao manabii wawili na kushangilia kwa kupeana zawadi kwa sababu hao manabii waliwatesa watu waishio duniani.