Mistari ya Biblia kuhusu Persecution: Blessedness of enduring, for Christ's sake
Mistari kuhusu Blessedness of enduring, for Christ's sake
Heri wanaoteswa kwa sababu ya haki, maana Ufalme wa Mbinguni ni wao.
Mmebarikiwa ninyi, watu watakapowachukia, watakapowatenga na kuwatukana na kulikataa jina lenu kama neno ovu, kwa ajili ya Mwana wa Adamu.