Mistari ya Biblia kuhusu Parents: Sins of, visited on their children
Mistari kuhusu Sins of, visited on their children
Usivisujudie wala kuviabudu; kwa kuwa Mimi, Bwana Mungu wako, ni Mungu mwenye wivu, ninayewaadhibu watoto kwa ajili ya dhambi za baba zao hadi kizazi cha tatu na cha nne cha wanichukiao,
Hutajumuika nao kwenye mazishi, kwa kuwa umeharibu nchi yako na kuwaua watu wako. Mzao wa mwovu hatatajwa tena kamwe.
Baba zetu walitenda dhambi na hawapo tena, na sisi tunachukua adhabu yao.