Mistari ya Biblia kuhusu Parents: To bless them
Mistari kuhusu To bless them
Ndipo akambariki Yosefu akisema, “Mungu ambaye baba zangu Abrahamu na Isaki walimtii, Mungu ambaye amekuwa mchungaji wa maisha yangu yote mpaka leo hii,
Kwa imani Isaki alimbariki Yakobo na Esau kuhusu maisha yao ya baadaye.