Mistari ya Biblia kuhusu Oaths: Herod
Mistari kuhusu Herod
kiasi kwamba aliahidi kwa kiapo kumpa huyo binti chochote angeomba.
Huyo binti, akiwa amechochewa na mama yake, akasema, “Nipe kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye sinia.”
Mfalme akasikitika, lakini kwa sababu ya viapo alivyoapa mbele ya wageni, akaamuru kwamba apatiwe ombi lake.